IS IT RIGHT FOR A MAN TO ASK A WOMAN FOR MONEY?


 So today i was talking to my friend over the phone.Akawa ananipa story kuhusu boyfriend wake.walianza relationship vizuuuri tu lakini sasa mambo yamekuwa mambo.Mara ya kwanza ilianza  kuna siku they went out,the guy kwa bahati mbaya alikuwa amesahau hela nyumbani so my friend had to pay the bill.Loh mtu si ndo akachukulia advantage.akamwona ana hela za mchezo cijui.siku hizi he calls her and with no shame anamwomba waende out but on her cost.yani anamwomba na hela hadi ya kununulia nguo as if he recently walks naked.Anaomba hadi ya kununua viatu as if he walks barefoot now.mbaya zaidi hadi wakitoka out the guy asks my friend to fuel his car.at one time my friend alimwambia she left her atm card at home but the guy insisted he takes her back home to get the card.Really???is it not supposed to be the opposite way?.yap a guy can ask when he is really broke that it even shows on his pale face.but frequent cases kama his?i am sorry i cant stand hata awe kanioa.i wont even care how many offsprings we have mwanaume anapenda vya bure that much..,no woman wants that.Aisee mimi sio golddigger but yes i do  not expect mwanaume aniombe hela na haijatokeaga bado aiseee nitaumwa siku hiyo.On the other side am a giving kind of a person,sina mkono wa birika heheheheee,so to a man who is there for me when i need something,he really should expect me to be there when he needs something

My girls,dont u ever feel insecured and have a low self esteem enough to daily  cash your man to keep him by your side. if u ever meet such a man yani ujue kama ni barabarani basi taa nyekundu zishawaka,.STOP!!! he is definetely using you.It is a man that should provide to his woman never heard otherwise even the bible and quran say that....................."

22 comments:

  1. Alphonce Chacha9 March 2013 at 03:16

    Honestly speaking it depends on such people some of the boys wanaweza wakawa wanafanya hivyo intentionally ili wajue kama that girl has a true love or she is after man's money in terms of cost sharing, lakini kama huyu amezoea so, he is doing it as it's right but it's not bad for lovers to share costs sometimes. To me I prefer to pay for my love and not otherwise.

    ReplyDelete
  2. Hii blog ni kwa watu wa jamii fulani ? au ni kwa watu wa aina zote ? kama ni kwa watu wa aina zote sio lazima utukane jamani, kila mtu anajua matusi, so keep it to your self, because thats bullshit, unamuharibia mwenzako, au labda hilo ndio lengo lako, kama watu wa heshima zao wakitembelea baadhi na kuona comment za aina hizo hawatofikiria kuitembelea tena. Acheni ushamba jamani, matusi sio ujanja.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Good, very nice, no need of abusing

      Delete
  3. 1.je blogger alipitia hiyo comment kabla ya ku i submit?
    2.alichukua hatua gani kuhusu hiyo comment?kwanini asingei delete akaamua kui publish?
    3.je alifanya research ya blog zinazoachia vitu kama hivyo?hakugundua ni cheap blogs na za mashenzini?
    4.last,unapaswa kujua kuwa wengi tunaoingia humu ni holders wa bachelors,masters na cpa so make it kisomi somi kama unavyoelezea story zako.do the same to when it comes to publishing comments.afu we anony namba moja kwenda udaku blogs ndo ukaandike ujinga huo.this is not the place for you.huku wasomi tu.wajinga wajinga are highly prohibited.think twice before you drop your comment to public attention.shenzy we.

    ReplyDelete
  4. Sawa sawa, BOYA kabisa wewe anony no.1,pumbaf..

    ReplyDelete
  5. heeeeeeeeeeee,

    ReplyDelete
  6. I don't support that kiukweli...!!

    ReplyDelete
  7. ONYO KALI: acha kutumia computer za kazini ku i feed blog yako.kwani huna laptop?kwanini usinunue kama huna.?ukiendelea hivyo nitaku report kwa line manager hakyanani.unanikera sana.

    ReplyDelete
  8. jamani naona admin wa hii blog ameitoa ile comment ya matusi iliyokuwa ya kwanza kabisa pale kabla ya comment ya bwana +Alphonce Chacha kwa hiyo sio ile comment ya yule anonymous anayefuata baada ya +Alphonce Chacha ........nadhani ni mapungufu ya kibinadam tu kwa hiyo kwa niaba ya bloger samahani kwa yeyote aliyekwazika au kupata usumbufu kwa namna yeyote ile kutokana na ile comment

    ReplyDelete
  9. freedom of speech10 March 2013 at 04:59

    ni wewe mwenyewe umeji comentia hapo katty.umegundua ulifanya vibaya kuweka koment ya yule mwendawazimu sasa unaona aibu kuomba msamaha wazi wazi ndo umeamua kuomba msamaha kijanja.umehisi tutakukimbia.unaturubuni ili tusije kuku nyanyapaa na blog yako

    ReplyDelete
  10. Alphonce Chacha10 March 2013 at 05:51

    Dear Admin, please try to avoid those non sense comments to appear on your blog. Cause what we wish is finalresorttz to be a place for intelligent arguments and exchanging matured ideas relating to daily life and not such stupid comments of illiterate net surfers..... keep it in touch dear Cathy.

    ReplyDelete
  11. freedom of speech10 March 2013 at 07:09

    and u actually think mimi ni illiterate?do you know my background?alphonce i am at one of the very reputable universities in tanzania which does not produce bogus heads.kama koment inaonekana kaji comentia mwenywe tusiseme ukweli.ye mwenyewe si kasema mtu unaruhusiwa kuanguka tu humu ndani.we are not limited to speak our thoughts,as long as hatutukani..all the time you are spending here,u would be reading the 60th page of the encyclopedia kama ungekuwa msongo sana.au ungejitolea kuwafundisha upya mazuzu walofeli form 4 juzi kama ungekuwa na uchungu na ma illiterate wa tz hii.give me a break,

    ReplyDelete
  12. Alphonce Chacha10 March 2013 at 08:02

    kweli freedom of speech, u can shout out anything you wish to.. kwani wewe ndiyo uliandika that stupidity comment? And did I mentioned u as one of those illiterate? I think you should use that knowledge u have acquired in that reputable university in reasoning my dear. Peace and Love

    ReplyDelete
  13. eishhh..work on ur english nigga

    ReplyDelete
  14. Alphonce Chacha10 March 2013 at 10:41

    Rebellion against your handicaps gets
    you nowhere. Self- pity gets you
    nowhere. One must have the
    adventurous daring to accept oneself
    as a bundle of possibilities and
    undertake the most interesting game
    in the world - making the most of
    one's best .

    ReplyDelete
  15. heheheeh mbona malumbano, u r ol out of topic jaman mbna hamtoi mawazo yenu khsu men who ask their gals for money, kwakwel me ntavumilia mara za kwanza lkn akiendelea akafie mbali, golddigger me mama ake!

    ReplyDelete
  16. mwanume suruali huyo..tuupa kule!

    ReplyDelete
  17. aisee ndonimeingia leo kwenye hichi kigenge.kumbe nilikuwa nakosa uhondo aisee.Blog kama hizi ndo napendaga.We chacha asilimia tisini ya humu tumesoma sio peke yako so shut it.Aweke hizo intelligent arguments lakini tunahitaji kucheka zaidi watu tunatoka kufanya mi accounts kazini na mi stress yetu tukija huku hatutaki kuumiza vichwa tena.Tunataka kukenua kama we msongo sana Tanganyika library si unaijua ilipo lakini

    ReplyDelete
  18. deloitte kama hicho ndo unachokitafuta magazeti ya kiu na ijumaa na wewe si unajua yalipo lakini

    ReplyDelete
  19. deloitte ina maana unachomaanisha hii blog ni ya vichekesho...

    ReplyDelete
  20. delloite ur in a wrong place at the right time... umevamia in short

    ReplyDelete
  21. hahahaaa hebu na nyie mwacheni Delloite....shiiishiii wote kila mtu ana andika anachojiskia as long as hatumii abusive word au sio mama blogger afu hebu update basi hii blog yako maana story hakuna watu tunataka kila siku tukiingia tunakuta new topic ndo raha yenyewe hiyo...haloooooooooooooooooooo

    ReplyDelete