IMAGINE NDO NIMEUJA SASA LULU KANUMBA IS OUT...

I think me ndo nimekuwa wa mwisho kupata hii habari.so kumbe mrs kanumba yuko nje tayari.?I am glad to know this kwa kweli.At least sasa hatma ya yule mtoto inaonekana na she can see herself somewhere.I always believed kuwa kesi ya lulu ilikuwa ngumu sana ku handle kwasababu it was subjected to public pressure and demand,as in watu(the public)hawampendi kabisaaa.so chuki yao kwake iliwafanya hata wasi weze kuchambua the issue kiundani.public pressure could affect the decision ya hakimu pia.so it required hakimu ambaye ni very independent mentally for the kid to be free again.am glad hakimu wa aina hiyo kapatikana...............ningekuwa hakimu mim kangekuwa nje loongi .happy birthday lulu loool

1 comment:

  1. sasa blogger gani anakuwa wa mwisho kupata habari.like seriously?

    ReplyDelete